Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TAMBWE JAMANI HAPANA CHEZEA SASA AZIDI KUWATAMANISHA VIONGOZI WA SIMBA.



 
Mshambuliaji Amis Tambwe amedizi kuonyesha thamani yake leo hii na kuifanya klabu yake ya zamani ya Simba ijutie kumtoa mchezaji huyo kwa watani zao hao wa jadi katika kipindi kilichopita na kuwafanya wazidi kuadhirika kwa kutoona umuhimu wake.


Tambe alikuwa shujaha hii leo baada ya kuwapatia mabingwa ligi kuu soka Tanzania bara ushindi wa mabao matatu kati ya 5-0 walioshinda siku ya leo dhidi ya klabu ya Maji maji Fc.

Wakati Tambwe raia wa Burundi akifanya mauaji hayo yakufunga mabao matatu Wazimbabwe, Donald Ngoma na Thabani Kamusoko na wao wamonesha kuwa hawajaja nchini kushanga mataa na kufunga bao moja moja kila mmoja.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget