Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

YALIOJILI BARANI ULAYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA USAJILI.



 
Kiungo wa zamani za Bolton Wanderers, Newcastle United na West Ham United, Kevin Nolan anatarajiwa kutangazwa kama kocha-mchezaji wa klabu ya Leyton Orient ya Ufaransa kwa mkataba wa miaka miwili na nusu.


Mshambuliaji nyota wa kimataifa wa Brazil, Neymar na baba yake wameripotiwa kukutana na wawakilishi wa Real Madrid katika sherehe za utoaji tuzo za Ballon d’Or kujadili uhamisho baada ya mazungumzo ya mkataba mpya na Barcelona kusimama. 

Fulham itakuwa tayari kumuuza mshambuliaji wake Moussa Dembele kwa paundi milioni sita kwenda Tottenham Hoptspurs kipindi hiki cha Januari lakini watamuhitaji tena kwa mkopo mpaka mwishoni mwa msimu. 

Imeiripotiwa kuwa Chelsea wanakaribia kumsajili nyota wa kimataifa wa Brazil Alexandre Pato, hatua hiyo inaweza kushindikana baada ya Sporting Lisbon nao kutajwa kumuwania mchezaji huyo huku tayari wakiwa wameanza mazungumzo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget