Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ALVARO MORATA AZIDI KUZITAMANISHA KLABU ZA SOKA NCHINI UINGEREZA.



http://worldsoccertalk.com/wp-content/uploads/2015/03/morata.jpg 

Klabu ya soka yaTottenham Hotspurs nao imeingia katika kinyang’anyiro cha kumuwania Alvaro Morata ili aweze kuja kuwa mbadala wa Harry Kane baada ya mchezaji huyo kuanza kupunguza makali yake hivi sasa.


Harry Kane ambaye msimu uliopita alikuwa mwimba mkalai kwa klabu kubwa za ulaya lakini sasa anaonekana kupunguza makali yake hivyo kuonekana kuzidiwa katika nafasi ya ushamuliaji.

Pamoja na klabu ya Tottenham kuonyesha nia hiyo lakini wanakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Real Madrid, Arsenal na Manchester United ambazo nazo zimeonyesha nia ya kumtaka mchezaji huyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget