Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

WENGER AWASHUSHA PRESHA MASHABIKI WA ARSENAL KUHUSU OZIL NA SANCHEZ.



 

Kocha wa klabu ya soka ya Arsenal, Arsene Wenger amethibitisha kuwa kuwa nyota wake waliokuwa majeruhi Alexis sanchez na Mesut ozil wako tayari kuwavaa Chelsea siku ya Jumapili.


AWenger amesema kuwa Sanchez na Ozil watakuwepo katika mchezo huo muhimu ambao unasubiri sana na mashabiki wa soka dunia kote..
Vinara hao wa Ligi Kuu walicheza bila ya Sanchez ambaye amefunga mabao sita msimu huu, toka Novemba mwaka jana baada ya kupata majeruhi ya msuli wa paja.

Huku Ozil yeye alikosa mchezo wa ligi uliopita dhidi ya Stoke City uliomalizka kwa sare ya bila kufungana, baada ya kusumbuliwa na majeruhi ya kidole gumba.

Wenger aliendelea kudai kuwa kiungo Francis Coquelin amerejea katika mazoezi kamili toka aumie katika mchezo dhidi ya West Bromwich Albion Novemba mwaka jana wakati Danny Welbeck ambaye hajacheza msimu huu naye akitarajiwa kuanza mazoezi wiki ijayo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget