Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

VAN GAAL ASEMA KATIKA KIPINDI HII CHA USAJILI ANAHITAJI FULL BEKI.



 
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Manchester United Louis van Gaal amethibitisha kuwa klabu yake kwa sasa inahitaji kumsajili beki katika kipindi hiki cha usajili wa January.


Mashetani hao wekundu wamepata msukosuko katika msimu huu baada ya kuumia kwa wachezaji wake muhimu katika safu ya ulinzi ambao Antonio Valencia, Luke Shaw, Marcos Rojo, and Ashley Young.

"kama ukiangalia katika safu yetu ya ulinizi unaweza ukawaona wachezaji Valencia, Shaw, Rojo, Darmian, Young - Darmian hao ni kutokana na kuwa hapo fit na hivyo nahitaji kupata beki katika kipindi hiki", Alisema  Van Gaal.

Akihojiwa katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika leo Van Gaal amesema kutokana na kupata majeruhi katika kikosi chake hivyo lazima aingie sokoni kwaajili ya kupata beki ambae ataweza kuwatoa hapo walipo.

Lakini alipohojiwa kuhusu kibarua chake klabuni hapo Van Gaaal alisema anamahusiano mazuri sana na wachezaji wake hilo ndio jambo muhimu kwake na haoni sababu ya kuondoka katika klabu hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget