Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BYE BYE JOHN WALKER,SISI TUNAFATA.



Marehemu John Walker kulia akiwa na Ras Lion enzi za uhai wake.


Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini Mikael Denis maarufa John Walker amefariki dunia asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam.

Taariafa za awali kutoka kwa ndugu wa John Walker zimesema msanii huyo amefariki dunia baada ya kuripukiwa na mtungi wa gesi wakati akiutengeneza.

Msanii huyo kutoka katika kundi la muziki la Watukutu alikuwa maarufu kutokana na kuimba mistari yenye ujumbe lakini kwa sauti ya mlevi.

 

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget