Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ROONEY AWAPIGA VIJEMBE WACHEZAJI WENZAKE KUHUSU VAN GAAL.



 
Msambuliaji wa klabu ya soka ya Manchester United Wayne Rooney amesema paoja na mashanbi engi dunia kumlaumu sana kocha wake Luis Van Gaal lakini kwa upand eawake yeye hawezi kumlaumu kocha huyo kwa klabu hiyo kuwa na matokeo mabovu katika meichezo kadaa.


Rooney amesema kwamba kocha wao amepokea lawama nyingi sana msimu huu kuliko wachezaji ambao ndio wapo dimbani kwa kila mechi lakini haoni ni vyema sana kumlaumu yeye pasipo kuwalaumu na wao wachezaji.

Klabu ya Man United wiki iliyopita ilipokea kichapo kizito cha mabao 2-1kutoka kwa klabu ya Sunderland na kuwaifanya klabu hiyo kuendelea kuboronga katika msimamo wa ligi kuu.  

Rooney amesema kocha wao huyo amepokea lawama nyingi sana zaidi ya wachezaji na wachezaji wapo uwanjani wana nafasi kubwa ya kucheza na kutafuta nafasi za kufunga magoli lakini hawajafanya hivyo msimu huu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget