Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HAZARD TUMBO JOTO USIKU HUU.



 
Kuelekea katika mchezo wa ligi ya mabingwa usiku huu kati ya Chelsea na PSG kiungo wa klabu ya Chelsea Eden Hazard amekiri kuwa klabu yake wanaiogopa Paris Saint-Germain katika mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika raundi ya 16-mtoano.

Kiungo huyo amebainisha kuwa The Blues hawakufurahi kusikia kuwa wamepangwa kucheza dhidi ya timu hiyo ya Ligue 1 Ligi ya Mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo.

Hazard amesema hajasahau klabu yao ilitolewa na PSG katika hatua hii msimu uliopita  baada ya timu hiyo ya Uingereza kuibuka mshindi walipokutana robo fainali mnamo 2012-14.

Hazard amemtaja Marco Verratti kama mchezaji hatari wa PSG katika mechi yao ya leo na amesema ni habari njema kwa Chelsea kwamba Muitaliano huyo bado anaendelea kupona majeraha na hatacheza mechi hiyo, lakini amewataja Zlatan Ibrahimovic na Angel Di Maria kuwa hatari nyingine kwao.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget