Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

COSTA KURUDI ATLETICO.



 

RAIS wa klabu ya soka ya Atletico Madrid Enrique Cerezo amethibitisa kuwa klabu yake inataka kumsajili tena mshambuliaji wa klabu ya soka ya Chelsea Diego Costa.


Costa alijiunga na mabingwa hao watetezi wa Stamford Bridge kwa ada ya uhamisho £32 million July 2014 na ameisaidia klabu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza msimu uliopita.

Mchezaji huyo mwenye miaka 27alihusishwa kurudi Atletico, ambako alishinda kombe la La Liga kuifikisha klabu yake katika michuano ya Ligi ya mabingwa barani Ulaya katika kipindi hiki kama akiachiwa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget