Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MAN UNITED YAGEUKA SHAMBA LA BIBI KILA MOJA ANAJITANUA TUU AKIIFIKIA.



 

Klabu ya soka ya Manchester United usiku wa kuamkia leo imeendelea kuwa na rekodi mbovu baada ya kutandika bila uruma mabao 2-1 dhidi ya klabu ya soka ya FC Midtjylland ya nchini Denmark katika Kombe la Europa Cup.


Kalabu ya Man United jana ilikuwa ugenini na ilikuwa inaonyesha kandanda safi na kuonekana ingeweza kutoka na pointi 3 muhimu lakini waliambulia kipigo hicho kinachoendelea kumuweka kocha wao Loius Van Gaal kuti kavu.

 
Mshambuliaji wao Memphis Depay ndiye aliye isaidia kuifuta machozi klabu yake baada ya kufunga bao moja na kuifanya klabu kubwa hiyo kupokea zawadi ya kipigo kutoka kwa timu ambayo ilikuwa haipewi nafasi ya kushinda.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget