
Kiungo wa klabu ya soka ya Chelsea Eden Hazard amesema
anafuraha kuwepo katika klabu yake hiyo lakini angepata nafasi anavutiwa zaidi
kucheza chini ya kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane.
November mwaka jana Zidane alimtaka mchezaji huyo huku
akimfananisha na wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwa ubora wao.
Hazard amesema anamkubali sana Zidane kutokana na
kumtambua vyema kocha huyo si kwa kuwa kocha tu bali kupata mafani kio makubwa
katika viunga vya Bernabeu.
Akihojiwa Hazard amesema anatamani sana kuwa chini yake lakini bado
anamkataba na klabu yake ya Chelsea na anajisikia vizuri kubaki klabuni hapo.
Post a Comment