Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PELLEGRINI NI DHAILI KABISA KASHINDWA KAZI PALE ETIHAD.



Out-fought & out-thought by Leicester - Man City must wish Pep was replacing Pellegrini tomorrow 
Manuel Pellegrini ni kocha mzuri sana na alikuwa anapendwa na mashabiki lakini kwa siku ya leo ameonyesha kuwa timu yake sio nzuri na inahitaji mabadiriko.


Klabu ya soka ya Man city leo hii imepokea kipigo kizitto kutoka kwa vinara wa ligi hiyo Liecister City cha mabao 3-1 kitu ambacho kinaonyesha dhari kuwa imu hiyo imemshinda hivi sasa.
 

Pellegrini ataondoka Etihad Stadium katika kipindi hiki baada ya klabu hiyo kumchuku kocha wa klabu ya Bayern munich kuifundisha timu hiyo.

Pellegrini ameshinda taji la ligi kuu soka nchini Uingereza na kombe la ligi katika msimu wa kwanza lakini kiwango alichokionyesha leo kwa timu yake dhidi ya Leicester City ni wazi kwamba amekalia kuti kavu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget