Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

RONALDO ARUDIA KOSA LILE LILE AMBALO ALILIFANYA MWANZO.



 

Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameondoka kwa hasira katika katika chumba cha mahojiano baada ya kuulizwa juu ya rekodi ya ufungaji magoli katika mechi za ugenini msimu huu.


Ronaldo mwenye miaka 31, amefunga magoli 32 msimu huu lakini hajafunga akiwa ugenini tangu mwezi Novemba mwaka jana.

Ronaldo alikuwa akiongea na wanahabari kabla ya mechi ya leo Jumatano ya Real Madrid dhidi ya Roma katika dimba la Stadio Olimpico.

Mwezi Disemba mwaka jana, mreno huyo alikuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli 10 katika mchuano wa makundi.

Goli lake la 11 ni la ugenini lakini hajafunga katika mechi nne za ugenini.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget