Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

YANGA SASA YAANZA KUMTAFUTA MCHAWI.



Yanga hali bado tete Msuva ainusuru mbele ya Prisons 
Ligi Kuu sokaTanzania bara mzunguko wa 17 umeendelea tena hii leo kwa michezo sita kuchezwa katika viwanja mbalimbali, huku kila timu ikisaka pointi tatu muhimu kwenye msimamo wa ligi hiyo.


Simba SC  5 vs 1 Mgambo Shooting -uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. 

Mtibwa Sugar 2  vs  2 Toto Africans - uwanja wa Manungu – Turiani.

Tanzania Prisons 2  vs  2Young Africans - uwanja wa Sokoine.

Wana kimanumanu African Sports 1 vs 0  Mwadui FC - uwanja wa 
Mkwakwani jijini Tanga.

Kagera Sugar  2 vs 1 Majimaji FC - uwanja wa Kamabarage mjini Shinyanga.

Kesho ligi hiyo itaendelea kwa kuchezwa michezo miwili.

Wagosi wa Kaya Coastal Union   vs  Ndanda FC - uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

JKT Ruvu watawakaribisha Mbeya City -uwanja wa Karume.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget