Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ALABA KUSAINI MKATA MPYA NDANI YA BAYERN.



Guardiola reportedly wants Alaba at City 

Kiungo wa wa klabu ya soka ya Buyern Munich David Alaba, ameanza mazungumzo mapya ya kuongeza mkataba mwingine na klabu yake licha ya kocha wake kutakiwa na klabu ya City kuhutaji huduma yake.

Mchezaji huyo raia wa nchini Austrian anaonekana kuwa mchezaji muhimu zaidi chini ya kocha wake Guardiola's katika ligi ya Bundesliga.

Bayern wameanza mazungumzo na Alaba's ya mkataba mpya na kumlipa mshahara wa €10million kwa mwaka na inaonekana anaweza akasaini mkataba mpya na klabu hiyo.

"Ni kweli tumeshaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya na Bayern lakini ngoja tuone itakavyokuwa," alisema Alaba.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget