Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MARTIAL AELEZEA JINSI ANAVYOKUNWA NA LIGI KUU SOKA NCHINI UINGEREZA.



Martial eyes long Premier League stay 

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Manchester United Anthony Martial anaimani kuwa ligi ya nchini Uingereza ni ligi bora duniani kote na anaimani kuendelea kubaki nchini Uingereza katika maisha yake yote.

Mshambuliaji huyo ambaye ni raia wa nchini Ufaransa alijiunga na klabu ya Manchester United akitokea  Monaco mwanzoni mwa msimu wa ligi hiyo 2015-16 ana ameonyesha kiwango bora zaidi katika viunga vya Old Trafford na amepachika mabao 12 katika mashindano yote.

Vijana wa Louis van Gaal's hivi sasa wapo katika hatari ya kuikosa michuano ya Ligi ya mabingwa barani Ulaya katika msimu ujao lakini Martial atajitaidi kuisaidia klabu yake kufanya vizuri zaidi.

Amesema ligi ya Uingereza inautofauti mkubwa na ligi zingine kutokana na uimara wake kwa kuwajenga wachezaji wanoshiriki ligi hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget