Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ARSENAL YAANZA MBIO ZA KUMTWAA HIGUAIN.



 

Klabu ya soka ya Arsenal inajiandaa kuizidi kete klabu ya Manchester United katika mbio za kumtwaa mshambuliaji wa klabu ya Napoli Gonzalo Higuain.

The Gunners' ilishindwa kumsajili mchezaji huyo katika msimu wa mwanzoni wa ligi kuu 2015-16 na mashabiki wa klabu hiyo waliilaumu klabu yao kushindwa kumsajili mchezaji huyo mwenye adhi ya dunia.

Hata hivyo kocha Arsene Wenger ameshaanza kumtolea macho Higuain, ambaye amepachika mabao 29 katika mashindano yote msimu huu.

Arsenal watakumbana na ushindano kutoka kwa United,ambao wametoa ofa ya £85 million kwa ajili ya kumtwaa mchezaji huyo raia wa nchini Argentine.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget