Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

INAWEZEKANA WACHEZAJI HAO HUU NDIO UKAWA MSIMU WAO WA MWISHO WA LIGI YA EPL.



Ruthless, efficient... champions? Leicester are on the brink of unprecedented glory 

Klabu ya Leicester City wamezidi kuonyesha makali yao na kuongeza harakati za kuwa mabingwa msimu huu baaada ya kuitandika klabu ya Crystal Palace bao 1-0 na kujiweka katika mazingira mazuri ya msimamo wa ligi kuu soka nchini Uingereza.

Msimu huu unaweza ukawa watofauti kidogo kwa mashabiki wa klabu kubwa nchini Uingereza na inawezekana kocha Claudio Ranieri akazidi kuwatia joto makocha waliozoeleka katika ligi hiyi baada ya klabu yake kuonyesha cheche zaidi msimu huu.
 

Jamie Vardy na Riyad Mahrez unaweza ukawa ndio msimu wao wa mwisho kuendelea kukipiga nchini Uingereza kutokana na klabu nyingi kuonyesha nia ya kuwahitaji wachezaji hawa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget