Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLABU YA SIMBA YAJIKUNJIA POINTI 3 MKWAKWANI HII LEO NA KUZIDI KUWEKA REKODI ZAIDI.



 

Klabu ya soka ya Simba imeendeleza rekodi yake na wimbi la ushindi Jumamosi ya leo kwa kuifunga Coastal Union mabao 2-0 katika uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga. 

Shukrani kwa Danny Lyanga na Hamis Kiiza kwa kupachika bao moja moja kwa kila mmoja na kuifanya Simba kupata pointi tatu ka kujikunjia kibindoni jumla ya pointi 57 baada ya kucheza michezo 24 ya ligi kuu ya Tanzania bara.

Simba sasa inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi saba dhidi ya wapinzani wake Yanga na Azam zenye pointi 50 kila moja huku zikiwa zimecheza mechi 21 mechi tatu nyuma ya Simba.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget