Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MBEYA CITY YAJITAPA KUJIPATIA UBWETE WA POINTI 3 KWA KLABU YA MBAO.



Image result for KLABU YA MBEYA CITY 
IKIWA inaendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mbao Fc  uliopangwa kuchezwa mwishoni mwa juma hili kwenye uwanja wa CCM Kirumba, Mbeya City fc  inataraji kuondoka mjini Shinyanga   ijumaa hii kuelekea jijini Mwanza  tayari kwa  kuikabili timu hiyo  iliyopanda daraja  kwa ‘mtereko’ tiketi ya mezani.

AFISA HABARI wa kikosi hiki, Dismas Ten,  amesema kuwa  City  itaondoka  mjini Shinyanga  ijumaa  jioni kuelekea  jijini Mwanza  ikiwa na lengo moja tu la kuvuna  pointi tatu zingine  kwenye uwanja wa CCM Kirumba  kama  ilivyokuwa kwenye mchezo wa juma lililopita dhidi ya wenyeji Toto Africans.

Ten aliweka wazi kuwa kiungo Geoffrey Mlawa  na mshambuliaji Omary Ramadhani waliyopata majeraha  kwenye mchezo uliopita  dhidi ya Toto Africans wamerejea kwenye hali  nzuri  na anaweza kuwa  sehemu ya mchezo huo wa jumamosi endapo Mwalimu Kinnah Phiri  atapenda kuwatumia.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget