Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HII MBEYA CITY YA KINNAH PHIRI MSIMU HUU MBONA HATARI.



IMG_20160906_133654 
Kocha Kinnah Phiri ameanza kukinoa kikosi chake kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Azam Fc  uliopangwa kuchezwa kwenye uwanja wa Sokoine jijini hapa  siku ya jumamosi.

Afisa habari wa klabu ya Mbeya City Dismas Ten  amesema kuwa  nyota wote 30 ikiwa ni pamoja na 25 waliokuwa nje ya jiji la Mbeya kwa takribani wiki tatu kwa ajili ya michezo ya mwanzo wa msimu wamejumuika kwenye mazoezi ya leo kwenye uwanja wa Sokoine.

Ten amesema kuwa huu ni msimu ambao City imejipanga  kuvunja  rekodi zote ambazo ilikuwa haijawahi kuzifikia tangu ilipopanda daraja  misimu mitatu iliyopita.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget