Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KANTE AMZOGOA MOURINHO.



Image result for kante 

KIUNGO mpya wa Chelsea, N’Golo Kante amefanunua jinsi gani alivyokataa ofa ya meneja wa Manchester United Jose Mourinho kwa ajili ya kujiunga na Chelsea kiangazi hiki.

Nyota huyo alijiunga na Chelsea akitokea Leicester City kwa kitita cha paundi milioni 29, lakini ilikuwa baada ya kukataa kwenda kuichezea United.

Akihojiwa Kante amesema lilikuwa ni jambo zuri Mourinho kumpigia, ingawa alishaonywa toka awali jinsi gani atakavyomshawishi.

Kante aliendelea kudai kuwa alimsikiliza meneja huyo lakini wakati huo tayari alishafanya maamuzi kwamba aidha abaki Leicester au aende Chelsea.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget