Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

WENGER ANUKIA TIMU YA ENGLAND.



Image result for wenger 
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Arsenal Arsene Wenger amefunguliwa milango ya kuweza kuchukua nafasi ya kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya nchini Uingereza baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu katika kalabu yake.

Wenger anaweza akakubali ofa hiyo ya kuwa kocha mpya wa timu hiyo baada ya kumalizana na klabu yake ya sasa ya Arsenal kutokana na kuwa bado anaifikiria klabu yake hiyo.

Wenger anaangalziwa kuchukua nagasi hiyo baada ya kocha wa zamani wa timu hiyo Sam Allardyce's kuwa katika tuhuma nzitobaada ya kuvuja kwa video inayomuonyesha akihujumu mipango ya usajili ya wachezaji wa Uingereza pamoja na kukisema vibaya chama cha soka nchini Uingereza FA.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget