Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

NAPE AWAONYA WANAOHUJUMU TIKETI ZA ELEKTRONIKI.



Image result for NAPE ZA TIKETI ZA ELEKTRONIKI 

Waziri wa habari,Utamaduni,Sanaa na michezo Mhe.Nape Nnauye amezidi kusisistiza na kuwaonya wale wote wanaoanza kuhujumu mfumo wa matumizi ya tiketi za Elekroniki ambao unaanza kutumika rasmi kuanzia Jumamosii hii katika mechi ya watani wa Jadi klabu ya soka ya Simba na Yanga.

Akizungumza na waandishi wa habari Nape amesema kumekuwa na watu wanoanza kuhujumu mfumo huo wa tiketi za Elekroniki ambao wanasababisha kuonekana kama haujakamilika katika uanzaji wake.

Kwa upande mwingine nape ameelezea jinsi mkataba wa tiketi za Elecktoniki ulivyosainiwa na kuelekezea kuwa tiketi hizo kwa sasa zinatolewa bure pasipo malipo yoyote yale.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget