Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BARCELONA KUMKOSA ALBA MECHI YA EL CLASICO.



Image result for JORDI ALBA 
Klabu ya soka ya Barcelona imetangaza kuwa itamkosa beki wake Jordi Alba katika mchezo wa El Clasico aliyepata majeraha ya goti na kifundo cha mguu katika mechi ya La Liga dhidi ya Real Sociedad.

Alba alipata majeraha hayo katika kipindi cha kwanza cha mechi waliyotoa sare ya 1-1 katika dimba la Anoeta na hali hiyo imemwacha beki huyo wa kushoto akihaha kupona kwa ajili ya El Clasico dhidi ya Real Madrid wikiendi hii.

Vipimo vilivyofanyika asubuhi hii vinadhihirisha kuwa Jordi Alba amepata majeraha kwenye goti lake la kulia na kwenye kifundo cha mguu wa kushoto.

Hata hivyo, kiungo Arda Turan imethibitika yupo fiti baada ya kukosa mechi ya wikiendi.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget