Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BMT YATOA WITO KWA WANACHAMA WA CHAKUTA KUCHUKUA FOMU ZA UCHAGUZI.



 
Na Najaha Bakari.

Baraza la michezo Taifa BMT limetoa wito kwa wanachama wa chama cha mchezo wa kuogelea Tanzania CHAKUTA kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali  za Uongozi ndani ya chama hicho.

Uchaguzi wa chama cha mchezo wa kuogelea unatarajia kufanyika Oktoba 10 mwaka huu mjini Morogoro na mwisho wa kurudisha fomu ni Oktoba 30 mwaka huu.

Katika uchaguzi huo nafasi zinzowaniwa ni nafasi ya Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti,katibu Mkuu,katibu Msaidizi Mweka Hazina na Mweka Hazina Msaidizi huku gharama za kuchukua fomu za nafasi hizo zikiwa ni sh.200,000.

Huku nafasi zingine zikiwa ni za wajumbe wa kamati yay a utendani wa chama hicho na kiasi cha kuchukulia fomu katika uchaguzi huo ni sh.100,000.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget