Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TFF KUENDELEA KUJADILI KOCHA WA TIMU YA VIJANA.



 
Siku chache baada ya kupewa mkataba wa kendelea kukinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kocha CHARLES BONIFACE MKWASA kamati ya ufundi ya Shirikisho la soka nchiniTFF inatarajiwa kufanya kikao cha kutafuta kocha mpya wa kukinoa kikosi cha Timu ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 15.

Afisa maendeleo wa mpira wa vijana kutoka TFF JEMEDARI SAID amesema kamati ya ufundi bado haijaketi kujadili ni kocha gani ambae atakuwa wa kudumu kukifundisha kikosi hicho.

Timu ya Taifa ya vijana tayari imevunja kambi yake ya kila mwezi iliyoweka katika hostel za karume na kurudi masomoni kuendelea na masoma baada ya kutoka katika ziara walizoenda kucheza na timu mbalimbali za mikoa ya Tanga na Arusha.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget