Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LIGI DARAJA LA KWANZA SASA KUONYESHWA NA KAMPUNI YA SAHARA MEDIA.


 
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF leo limesaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama ya sh.Milioni 450 na kampuni ya Sahara Media wa kwaajili ya kuonyesha ligi daraja la kwanza kwa msimu huu mpya wa ligi hiyo.

Akisaini mkataba huo Rais wa TFF JAMAL MALINZI amesema muda muafaka sasa wa soka la kitanzania kukua na kuwa la kimataifa na kulifanya kuwa lenye kuvutia kutokana na kuonyeshwa katika vyombo mbalimbali vya habari.
  
Naye Makamu Mwenyekiti wa Sahara Media SAMWEL NYALA amesema wao kama Media wameamua kuwekeza zaidi katika michezo ili kuhakikisha wanaleta changamoto kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo na kufanya wachezaji kujitambua na kucheza kwa ushindani zaidi.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget