Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

GIGGS AMPA SOMO DEPAY.



 
Kocha msaidizi wa Manchester United, mkongwe Ryan Giggs ameamua kumpa onyo kinda MEMPHIS DEPAY kutokana na mwenendo wake ndani ya Manchester United hivi sasa.

Manchester United walitoa pauni milioni 25 kwa kijana huyo  kutoka PSV Eindhoven lakini alitolewa nje muda wa mapumziko Manchester United ikiadhibiwa na Arsenal kwa magoli 3-0 wiki iliyopita.

Chanzo kimesema kuwa Depay baada ya mchezo wa Arsenal alionekana usiku akila bata huku akionesha kutojali kwa mambo yanayoendelea uwanjani.

Giggs ametoa onyo kwa kijana huyo kutuliza akili na kufikiria zaidi uwanjani kuliko nje ya uwanja.

Giggs amesema hayo huku akimkumbuka kocha wake Sir Alex Ferguson aliyekua mkali sana kwa wachezaji aina ya Depay.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget