Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MWESIGWA AWATAKA VIJANA KUKAZA BUTI.




 
Baada ya kurejea nchini akitokea katika kikao kilichofanyika nchini Msumbiji katika kikao cha CAF katibu mkuu wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF SELESTINE MWESIGWA ameelezea jinsi soka la vijana linavyokua zaidi barani Afrika.
Akizungumzia kuhusu kikao hicho MWESIGWA amesema kiwango cha ukuaji wa soka la vijana kwa upande wa Afrika linazidi kukua na hasa katika nchi ya Tanzania.
 MWESIGWA amesema kwa bara la Afrika soka linaendelea kukua na kulifanya liweze kuwa bora zaidi nje ya bara hili na kulitangaza zaidi hasa soka la vijana wadogo.
Huku akiwataka vijana hao kuongeza juhudi zaidi ya kisoka na kuwafanya waweze kutimiza ndoto zao za soka.





Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget