Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PACQUIAO YUKARIBU KUSTAAFU MASUMBWI.



 
Bondia raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa akastaafu katika ulingo wa ndondi baada ya pigano moja mwaka ujao.
Pacquiao,ambaye alipoteza kwa Floyd Mayweather katika pigano la mwisho ,anataka kuwania kiti kimoja katika bunge la seneti mwaka 2016.

Pacquiao amesema kuwa hawezi kusema iwapo pigano lake la mwisho litakuwa dhidi ya Mayweather,baada ya raia huyo wa Marekani kuahidi kustaafu baada ya ushindi wake dhidi ya Andre Berto.

Raia huyo wa Ufilipino ,ambaye alifanyiwa upasuaji katika bega lake baada ya pigano lake na Mayweather,anajivunia rekodi ya mapigano 57,kushindwa mara 6 na sare ya mapigano 2.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget