Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

WAYNE ROONEY KUIKOSA MICHUANO YA EURO.



 
Nahodha wa kimataifa wa England WAYNE ROONEY atakosa mchezo wa kuwania tiketi ya fainali za Euro 2016 dhidi ya Estonia baada ya kupata jeraha wakati alipoichezea Manchester United.

Mshambuliaji huyo hakufanya mazoezi na kikosi cha ROY HODGSON tangu walipokutana Jumanne lakini licha ya kukosa mchezo huo ataendelea kuwa na timu hiyo hadi utakapowadia mchezo mwingine dhidi ya Lithuania.

Beki wa Chelsea GARY CAHILL ndiye atakayetwaa mikoba ya unahodha baada ya ROONEY kuondolewa katika nafasi hiyo kwa muda.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget