Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA YAKANA KUTOPATA TAARIFA YOYOTE YA MCHEZAJI WAO PAPE N'DAW.



 
Siku chache baada ya mshambuliaji wa klabu ya soka ya Simba, Pape N’daw, kukutwa na hirizi na amesema uongozi wa klabu ya soka ya simba umesema bado haujapata taarifa yoyote kutoka katika benchi lao la ufundi kuhusu shutuma anzaopewa mchezaji huyo.

Jumatano iliyopita kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya klabu ya soka ya akicheza dhidi ya Prisons, N’daw, raia wa Senegal, alizongwa na wachezaji wa timu pinzani kisha akakutwa na hirizi ambapo mwamuzi alimtoa nje kwenda kuitoa.

Mjumbe wa kamati ya simba Said Tuli amesema wao kama viongozi bado hawajapata taarifa yoyote kuhusu mchezaji huyo kukutwa na kipande hicho cha hirizi kiunono kutoka kwa benchi la ufundi la klabu hiyo.

Tuli amesema n ahata kama wakipata taarifa juu ya mchezo huo kutoka kwa benchi hilo la ufundi lakini kama hawajapewa taarifa yoyote kuhusu mchezaji huyo hawatajadiri swala lolote linalo muhusu mchezaji huyo.


Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget