Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MKWASA AWATOA HOFU WATANZANIA KATIKA MCHEZO WAO WA KESHO DHIDI YA ALGERIA.



 
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars CHARLSE BONIFACE MKWASA amewaondoa hofu watanzania katika mchezo wao wa kesho dhidi ya Algeria utaopigwa katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


Akizungumzia mchezo wao huo wa kesho MKWASA amesema wachezaji wake wote wapo na morali ya hali ya juu katika mchezo huo na atatumia mfumu ambao ni rahisi kwa wachezaji wake kuutumia katika mchezo huo ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Mkwasa amesema mpaka hii leo hana mchezaji yeyote ambae ni majeruhi na amewataka watanzia kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo ili kuongeza hali ya kujiamini kwa wachezaji wake.

Lakini kuelekea katika mchezo huo mashabiki mbalimbali  wa soka nchini wametoa maoni yao kuhusu mchezo huo huku wakiitaka timu yao ya Taifa Stars kutoiogopa Algeria katika mchezo huo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget