Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

AZAM FC HAOO..... VISIWANI ZANZIBAR.



 

Baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 siku ya jana dhidi ya Mtibwa Suger  sasa Kikosi cha Azam  Fc kinajiandaa kwenda Visiwani Zanzibar kwaajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi  huku kikipanga kuondoka na wachezaji 26 ambao watashiriki michuano hiyo.


Afisa habari wa klabu hiyo Jafary Idd amesema baada ya mchezo wao wa jana ambao ulikuwa wa vuta nikuvute sasa kikosi chake kipo vizuri kwajili ya kupambana tena katika michuano ya Kombe la Mapinduzi ambalo linahusisha na timu za kutoka nje ya Tanzania.

Kikosi cha Azam kinaelekea visiwani Zanzibar January mosi kwajili ya michuano hiyo ambayo inasubiriwa na wapenzi wengi wa soka visani humo kutokana na timu ambazo zinashiriki michuano hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget