
Baada ya Klabu ya KMC inayoshiriki Ligi daraja la
kwanza kuindika barua kwenda Bodi ya Ligi nchini kupigwa kuchezeshwa kwa
mchezaji wa aliyekuwa akikipiga Friends Ranger katika mchezo wao walipocheza
dhidi ya klabu ya African Lyion Shirikisho la soka nchini Tanzania lakanusha
taarifa hizo.
Mkurugenzi wa mashindano kutoka TFF Martin Chacha
amesema mchezaji huyo ambae ni Amad Juma alisajiliwa na klabu ya African Lyion
kuanzi Desemba 14 mwaka huu na ni mchezaji halali wa klabu hiyo.
Chacha amesema mchezaji huyo alisajiliwa kihalali
kabisa tofauti na klabu ya KMC inavyosema kuwa ni mchezaji wa Friends Ranger
ambapo wanalalamika kuchezeshwa katika mchezo wao.
Post a Comment