Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

CITY SASA YAMGEUKIA ISCO MAN U NAYO IKIMTOLEA MACHO.



RUMOURS: Manchester City to make £32m Isco bid 

Kuna tetesi kuwa klabu ya soka ya Manchester City imeingia katika changamoto ndani ya klabu ya soka ya Real Madrid's kwaajili ya kumsajili mchezaji wa klabu hiyo Isco kwa ada ya uhamisho wa £32 million, kwa mujibu wa gazeti la The Sun.


Mchezaji huyo ambaye ni raia wa nchini Hispani hanafuraha ambayo anacheza kwa muda mchache Santiago Bernabeu, na boss Man city  Manuel Pellegrini yupo tayari kutwaa kiungo huyo.

Klabu ya Manchester United nayo imeingia katika ushindani wa kumnasa mchezaji huyo mwenye miaka 23 lakini City wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa mchezaji huyo katika dirisha la usajili litakalo funguliwa January mwakani.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget