Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MALINZI ABARIKI KAMATI YA NIDHAMU BAADA YA MURO KUPELEKWA KIKAANGONI.



 

Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF Jamali Malinzi imebariki kamati ya nidhamu ya Shirikisho hilo baada ya kumchukulia hatua Mkuu wa kitengo cha mawasiliano cha klabu ya soka ya Yanga Jerry Muro baada ya kumtolea maneno ya kibaguzi Msemaji wa klabu ya soka ya Simba Haji Manara.


Malinzi amesema kuwa msemaji wa klabu isiwe sababu ya kufanya vitendo visivyo faa katika masuala ya mpira na kuingiza masuala binafsi michezoni.

Malinzi amemuagiza Mkurugenzi Mkuu Wa Bodi ya Ligi nchini Boniface Wambura kuwapa semina wasemaji wote wa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu soka nchini Tanzania ili kupata uelewa wa jinsi ya kufanya kazi zao.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget