
Klabu ya KMC inayoshiriki Ligi daraja la kwanza
imeandika barua kwenda Bodi ya Ligi nchini kupigwa kuchezeshwa kwa mchezaji wa
Friends Ranger katika mchezo wao walipocheza dhidi ya klabu ya African Lyion.
Frank Mchaki ambaye ni kiongozi wa klabu ya KMC ya
amesema klabu ya African Lyion ilimchezesha mchezaji asie alali katika mchezo
wao ulioisha kwa KMC kufungwa mabao 2-1.
Mchakli amesema mchezaji huyo ambae alichezeshwa
katika mchezo wao alikuwa anakipiga katika klabu ya Friends Ranger na alikuwa
hajasajiliwa rasmi na klabu ya African Lyion kuchezeshwa katika mchezo wao.
Mchaki amemtaja mchezaji huyo ni Hamad Juma na
ameitaka TFF kuwa makini katika kupitisha majina ya ya wachezaji waliokatika
utata na timu zao.
Post a Comment