Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA HIYO YAELEKEA MTWARA KUWAKABIRI NDANDA FC JUMAMOSI HII.



 
Kikosi cha msimbazi Simba leo kimeondoka kuelekea Mkoani Mtwara kwaajili ya kukamilisha mchezo wao wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Ndanda Fc utakaochezwa jumamosi hii klaba ya ligi kusimama tena.


Kikosi cha Simba kimeondoka hii leo huku kikiwa na kumbu kumbu ya kutoka sare katika mchezo wao uliopita dhidi ya klabu ya Mwadui FC jumamosi iliyopita mchezo uliochezwa Mkoani Shinyanga.

Ligi kuu itasimama kwa muda kupisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi yatakayofanyika Visiwanai Zanzibar huku klabu ya Simba nayo ikiomba kusogezewa mbele tareheza mchezo wake katika mashindano hayo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget