Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BAADA YA NGAWINA KUBWAGA MANYANGA SASA NDANDA FC KUTAFUTA KOCHA MSADIZI.



 
Baada ya kubwaga manyanga kwa aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu ya Ndanda FC Ngawina Ngawina ya Mkoani Mtwara uongozi wa klabu hiyo sasa unajipanga kupata mbadala wake.


Katibu Mkuu wa Ndanda FC Suleimani Kachele amesema alipata taarifa hizi kutoka kwa kocha mwenyewe baada ya kupigia simu na kudai kuwa hatojihusisha na klabu hiyo kama kocha msaidizi.

Kachele amesema baada ya kocha huyo kubwaga manyanga sasa kamati tendaji ya klabu hiyo itaketi muda wowote kuona jinsi gani wanavyoweza kuweka mambo sawa katika klabu hiyo.

Kwa upande wake aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo Ngawina Ngawina amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kuambiwa yeye anassbabisha klabu hiyo ipate matoikeo mabovu.

Ngawia amesema Ndanda ilipata matoke mabovu ilipofungwa na klabu ya simba wiki iliyopita na klabu ya Azam hivyo kuambiwa yeye ndiye aliyeuza timu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget