Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BONDIA DURA MBABE SASA KUMKABILI BONDIA KUTOKA URUSI JANUATY 31.



 

Bondia Abdalah Pazi alfajiri ya leo hii ameondoka nchini kuelekea katika pambano lake lisilo na ubingwa dhidi ya bondia kutoka nchini Urusi pamabano ambalo linatarajiwa kupigwa January 31 mwaka huu pambano lenye round 6.


Katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini Tanzanaia PST Antony Rutta amesema maaandalizi yote ya bondia huyo yalikuwa yamekamilika na ameongozana na Emmanuel Mrundwa katika safari hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget