Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HII SASA HATARI UWANJA WA YANGA KAMA BWAWA LA KUVULIA SAMAKI.



 
Huu ni uwanja wa klabu ya soka ya Yanga uliopo maeneo ya Jangwani wala sio bwawa kama unavyofikiria na klabu hii hivi sasa ni klabu kongwe nchini tangu kuanzishwa mwaka 1935.


Sasa kutokana na mvua zinazoendeea kunyesha katika sehemu tofauti tofati za nchi KILOWOKO.BLOGSPOT.COM imeshuhudia uwanja huo wa mabingwa hao wa ligi kuu soka Tanzania bara kwa mwaka 2014-15 klabu ya Yanga ukiwa katika hali mbaya baada ya maji kujaa katika uwanja huo. 

Uwanja wa mabingwa hao umekuwa ni sehemu ya kuhifadhi maji baada ya uongozi wa klabu hiyo kushindwa kutengeneza miundombinu bora inayoweza kupitisha maji hayo.

Hali hii imekuwa ikijitokeza kila mwaka hivi sasa huku uongozi wa klabu hiyo ukiwa hauna mipango ya kuurekebisha uwanja huo ambao hutumika na wachezaji wa klabu yao kwaajili ya kufanyia mazoezi, hali inayosababisha wakati mwingine wachezaji hao kuukwepa uwanja huo kutokana na maji kujaa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget