Kesho hapatoshi katika ligi kuu soka Tanzania bara Michezo
mingine 8 kugwa siku ya kesho ikiwa ni mzunguko wa nne wa ligi hiyo ni pamoja
na:
Toto Africans watawakaribisha Tanzania Prisosns
uwanja wa CCM Kirumba,
Huku Stand United wakicheza dhidi ya Kagera Sugar katika
uwanja wa Kamabarage mjini Shinyanga.
Uwanja wa Tafa jijini Dar es salaam, Simba SC
watawakaribisha wakata miwa wa Mtibwa Sugar saa 10 jioni.
Mbeya City watakua wenyeji wa Mwadui FC uwanja wa
Sokoine jijini Mbeya.
Coastal Union dhidi ya Majimaji uwanja wa Mkwakwani.
Huku mchezo kati ya Azam FC dhidi ya African Sports
ukianza saa 1 usiku.
Jumapili ligi hiyo itaendelea kwa mchezo mmoja
uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo Young African watawakaribisha
Ndanda FC kutoka Mtwara.
Post a Comment