Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLABU YA MAJI MAJI YAJITETEA BAADA YA KIPIGO CHA JANA KUTOKA KWA YANGA.



http://images.performgroup.com/di/library/Goal_Tanzania/c7/55/kally-ongala_144dv3orwgxet14ud3t5pb5x7q.jpg?t=744736224&w=620&h=430 
Baada ya kutandikwa mabao matano kwa bila siku ya jana uongozi wa klabu ya soka ya Majimaji Fc umejitetea kuwa timu yao bado haija kaa vizuri baada ya kubadirika kwa kocha wao sasa.


Makamu Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Maji maji FC John Nchimbi amesema klabu yake kupoteza mchezo wa jana ilitokana na kutokuwa na maelewano baaina yao wenyewe lakini kwa sasa wanajipanga vyema kwaajili ya mchezo wao unaofata.

Maji maji ilipoteza mchezo huo ukiwa ni 4 mfurulizo na sasa wanonekana kushindwa kuendana na kasi ya ligi kuu baada ya kuonyesha kiwango safi ligi hiyo ilipoaanza.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget