Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

STEVEN GERRARD KUTUNDIKA DARUGA NOVEMBER MWAKA HUU.



Gerrard: This will be my final year 
Kiungo wa zamani wa klabu ya Liverpool Steven Gerrard amesema mwaka huu ni mwaka wa mwisho kucheza soka sasa atatundika daruga na kuuugeukia ukocha.


Gerrard amesema ifikapo November 2016 anampango wa kuachana na kazi yake ya kusukuma soka na kuanza kufundisha mpira.

Gwiji huyo ambae alikuwa Nahodha katika klabu yake ya Liverpool kabla hajajiunga na LA Galaxy ya nchini Marekani ametwaa kombe la Champions League, Uefa Cup, FA Cup na League Cup.

“sina asilimia 100 lakini nafikiria utakuwa ni mwaka wangu wa mwisho kusakata kabumbu”,Alisema Gerrard.

Kiungo huyo mwenye miaka 25 alikuwa akijifunza kila siku jinsi ya kuiendesha timu na anauhakika kocha wa sasa wa Liverpool Jurgen Klopp atamrudisha Anfield kujiunga naye.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget