
Imeripotiwa kuwa meneja wa klabu ya soka ya Real Madrid
Zinedine Zidane alizuia uhamisho wa kiungo wake Isco kwenda katika klabu ya Arsenal
katika dirisha la usajili la January.
Hii imetokana na kuwa klabu ya soka ya Real Madrid ilikuwa
haina muda wa kupata mmbadala wa kiungo mwingine atakaeziba nafasi yake.
Pamoja na kiungo kuyo kuhusishwa na kuhamia Arsenal
lakini pia alihusisha na kuhamia katika klabu ya Manchester City kutokana na
kukosa namba katika kikosi cha kwanza katika dimba la Santiago Bernabeu.
Lakini Zidane alikuwa hayupo tayari kumuachia kiungo
huyo kutua katika viunga vya Emirates Stadium.
Post a Comment