Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MASIKINI WAYNE ROONEY NDIO BASI TENA.



 
Kocha mkuu wa klabu ya Manchester United Louis Van Gaal amethibitisha kuwa Nahodha wake Wayne Rooney amepata majeraha na na atakuwa nje dimba kwa wiki tatu hadi nne.


Van Gaal amesema Nahodha wake huyo amepata majeraha ya goti wakati wa mchezo wao wa ligi kuu soka nchini Eingland dhidi ya Sunderland wiki iliyopita.

Van Gaaal amesema kikosi chake cha Manchester United kinasfiri kuelekea  Denmark kuifuata  Midtjylland kwa ajili ya mechi ya michuano ya Europa Cup.

Kuumia kwa Rooney kunamfanya akose mchezo huo wa Europa Cup huku akiwa amefunga mabo 7 katika mechi 9 alizocheza katika klabu yake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget