Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MADRID YAPANGIWA VIBONDE KATIKA ROBO FAINALI YA UEFA.



 
Ratiba ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, imepangwa leo.

Mechi ambayo inaonekana kuwa gumzo ni ile kati ya Barcelona dhidi ya Atletico Madrid zote za kutoka nchini Hispania.

Lakini inaonekana kama Real Madrid kama imepata mchekea kwa kupangwa na Wolfsburg ya Ujerumani huku PSG ikirudi kucheza tena England dhidi ya Manchester City.

RATIBA:

PSG vs Manchester City

Barcelona vs Atletico Madrid

Bayern Munich vs Benfica

Wolfsburg vs Real Madrid

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget