Klabu ya soka ya Azam Fc imethibitisha kutowekeza
mechi za viporo tena kwa msimuhuu hata kama Shirikisho la soka nchini kuwa
tayari kuwasogezea mbele mechi zao.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa klabu hiyo Jafari Iddi
na kuelezea mipango yao kwa msimu huu ukizingatia na ugumu wa ligi inavyoelekea
kwa sasa katika mechi hizi za mwanzoni.
Azam imekuwa na wakati mgumu hivi sasa baada ya kikosi chao kuoneka kama hakina ushindani ndani ya ligi ya mwaka huu huku ikitumia zaidi vijana chipukizi katika kikosi chake.
Post a Comment